Sunday, February 8, 2015

MALUMBANO YAZUKA KUHUSU MAZISHI YA KRISTINA BROWN AKIWA MAHUTUTI


Bobbi Kristina.
WAKATI binti wa mwanamuziki Bobby Brown aitwaye Bobbi Kristina akiwa 'ananusa' kifo, familia yake inajadili mipango ya mazishi yake, ambapo upande wa baba yake unajizatiti kupambana kutokana na vitendo ilivyofanyiwa wakati Whitney Houston (mama yake Bobbi) alipofariki.
Kwa mujibu wa tovuti ya TMZ, familia ya Brown haitaki tena hali hiyo itokee ambapo Brown aliondoka katika mazishi hayo baada ya waangalizi wa usalama kumkataza kukaa na Bobbi wakati wa misa ya kumwombea mama yake.
Bobby ananukuliwa akisema familia ya Houston ilikasirishwa na kitendo chake cha kuja na watu tisa wa familia yake kwenye mazishi hayo.
Habari zilizopo ni kwamba chumba alimolazwa Bobbi katika hospitali akiwa mahututi baada ya kukutwa akiwa ameanguka bafuni, kimewekewa kizuizi na familia ya Houston na kuna namba maalum ya kuingilia ndani ya chumba hicho.
Wanafamilia wengi wa upande wa Brown hawakupewa namba hiyo, jambo ambalo lilisababisha kutoelewana.
"Lolote likitokea kwa Bobbi Kristina, hatutakubali kufanyiwa vitendo kama vile sisi watoto wadogo," alisema mmoja wa wanafamilia ya Brown.

MSINIPANGIE WAVAZI ,NIKIVAA NGUO FUPI NI MIMI NA KAMA NAJIUZA NIACHENI MAANA NAUZA PAPU*CHI YANGU ....SIJAAZIMA YA MTU.... AMANDA



Mwigizaji wa filamu, Amamnda Poshi amewatolea uvivu wanaomponda kwa kuvaa nguo fupi huko Instagram. 

Amanda  amewataka  mashabiki  wake  kuachana  na  maisha  yake  binafsi  kwa  madai  kuwa  kama  maisha  yake  yanategemea  kujiuza  kingono  basi  wamwache  maana  anayoiuza  ni  Papu**chi  yake  mwenyewe  na  hajaazima  kwa  mtu.

Huu  ni  ujumbe  wake  alioundika: Instagrameee naipenda sanaaa..naipenda na watu wake nawapenda sanaaa coz ni sehem unayopangiwa uishi vipi,uvae vipi ,ulale wapi,uwe na bwana wa aina gani na ukikaa vibaya utapangiwa mpk chakula cha kutia tumboni tena kwa pesa yako...
  
Naomba ieleweke kila mtu anauhuru wake...kwangu me msinipangie mavazi wala jinsi ya kuishi,nikivaa nguo fupi ni mimi,niwe na miguu mibaya,mapaja mabaya ,sura mbaya haimuhusu mtu ....manina c mzae wenu!!!! mlikuwa mnasubiri mpk mama amanda azae ndio mkosoe mxiuuuuu....
  
Kuhusu nguo mtakosoa sana na makelele pigeni ila kuvaa vimini siachi maana hakuna anayenivisha wala kuninunulia...nanunua kwa pesa yng na kama mtu kuvaa nguo fupi anauza basi acheni kupiga kelele maana nauza papuchi yng sijaazima ya mtu.... 
  
"Niwatakie usiku mwema wote hahahaaaa nawapenda sana